Tuesday, 26 July 2016

Olomide jailed

Congolese Rumba maestro Koffi Olomide was arrested this morning at his home in Kinshasha, DRC, following a court order.
Olomide will serve 18-months jail term in Kinshasa without option of a fine after a video emerged showing him kicking one of his female dancers at Nairobi Airport in Kenya.

Saturday, 2 July 2016

Misterious killings

Fredrick Leliman, Stephen Chebulet, Silvia Wanjiku named as officers in custody over killing of lawyer Willie Kimani.

Monday, 4 April 2016

Amisom in Somalia

Six more Al Shabaab commanders killed by Joint Forces in Lower Shabelle region

Thursday, 31 March 2016

KIKAO CHA RAIS

Hali ilivyokuwa kabla ya kikao cha rais Uhuru Kenyatta cha kuhutubia taifa katika bunge alasiri ya leo.



WANASHERIA WAAPISHA

Hanan El Kathiri anakula kiapo kwa kutumia Quran katika kuhudumu kama mwanasheria wa mahakama kuu.





MWANA WA BESIGYE NAYE YUPO KINYANG'ANYIRONI

Mtoto wa kiume wa kiongozi wa upinzani nchini Uganda Kizza Besigye ni miongoni mwa wanafunzi waliojitokeza kuwania urais katika chama cha mijadala katika chuo kikuu cha Oxford nchini Marekani.

KIKAO CHA TAIFA

Rais Uhuru Kenyatta anatarajiwa adhuhuri ya leo kuhutubia taifa kuhusiana na hali ilivyo nchini ndani ya kipindi cha mwaka mmoja.

Kikao hicho kitakuwa ndani ya bunge la kitaifa, hali ambayo wabunge kutoka upinzani wametishia huenda wakakwepa hotuba hiyo.

Wednesday, 30 March 2016

COURT ACQUITS THUITA MWANGI.



Former Foreign Affairs permanent secretary Thuita Mwangi alongside former ambassador to Libya Anthony Muchiri and former chargĂ© d'affaires in Tokyo Allan Mburu have been acquitted of all charges in relation to the Tokyo embassy scam.

                            

RADIO SALAAM MINUS PRESENTER.

News Presenter and Reporter Douglus Omare famously Mr. Chairman departs Mombasa based Fm Radio Station Radio Salaam for Milele Fm.
                                                  

USAFIRI KUIMARISHA UCHUMI


Ndege za moja kwa moja kati ya taifa la Kenya na Marekani zimeratibiwa kuanza shughli zake kwa miezi miwili endapo bunge litaridhia mswada wa usafiri wa hewani.



Mamlaka ya usafiri wa hewani KCAA imesema iko katika mikakati ya kuafikia masharti ya usalama wa hewani, ambayo itapelekea ndege za humu nchini kuanza safari za moja kwa moja hadi Marekani. 

PEMBE ZANASWA JKIA.

Serikali imetoa muda wa siku 21 kwa wakenya wenye pembe za wanyama pori kuziwasilisha kwa idara husika la sivyo nguvu zitumike dhidi yao.

Hatua hiyo inajiri muda mchache baada ya maafisa wa polisi katika uwanja wa kimataifa wa ndege wa Jomo Kenyatta jijini Nairobi kunasa pembe 18 za ndovu zenye thamani ya shilingi milioni 6.4.
Pembe hizo zinazosemekana zililegwa kusafirishwa mjini Bankok nchini Thailand kutoka Mozambique, zilikuwa zimefichwa katika maboxi 22 yaliyodaiwa kubeba madini aina ya Gemstone.

SIMBA WAZIDI KUTOROKA MBUGA JIJINI NAIROBI

Maafisa kutoka shirika la wanyama pori kws wamemuuwa simba aliyemjeruhi mkazi baada ya kutoroka mbugani kwa kumpiga risasi.
Maafisa hao wamesema wamelazimika kumuuwa simba huyo baada ya jaribio lao la kutaka kumdunga sindano ya kumtoa fahamu kugonga mwamba.
Simba huyo alionekana katika barabara ya Isinya-Kajiado mapema leo akirandaranda kabla ya kumjeruhi mwendesha bodaboda.

Thursday, 24 March 2016

Wednesday, 27 January 2016

RAILA ODINGA

Kinara wa mrengo wa Cord Raila Odinga akishirikiana na baadhi ya viongozi wa mrengo wake wa kanda ya Pwani wameitaja barabara moja katika kaunti ya Mombasa jina la mwendazake mwanawe Fidel Odinga.


Ziara ya Raila mkoani Pwani inajiri siku chache baada ya kuhitimika kwa ziara ya Rais Uhuru Kenyatta katika kanda hiyo.



Thursday, 14 January 2016

ODINGA ON EURO SAGA

RAILA ODINGA NAMES ALLEGED BEHIND EUROBOND SAGA.

1. PATRICK KAMAU THUGE- NATIONAL TREASURY
2. BERNARD NDUNG'U
3. MOHAMMED NYAAOGA - CBK
4. PROF. NJUGUNA NDUNG'U - CBK
5. JOHN BIRECH
6. MOSES MUTHUI - CBK
7. HENRY ROTICH - CS TREASURY
8. JOSEPH KINYUA - STATE HOUSE.



Friday, 25 December 2015

KENYATTA NA FAMILIA YAKE WASHEREHEKEA KRISMASI MOMBASA


Rais Uhuru Kanyatta na familia yake akiwemo mke, mama, na watoto wake pamoja na seneta wa Nairobi Mike Mbuvi "Sonko"wamesherehekea siku kuu ya krismasi katika kaunti ya Mombasa.


Rais Uhuru ambaye ziara yake imekuwa ya siri mjini humo, amehudhuria misa ya maombi katika kanisa la Cathedral lililoko katika barabara na Nkruma jijini humo.



SHAMBULIZI LAMU


Wapiganaji wa Al- Shabab wamemuuwa polisi mmoja, baada ya bomu walilotega kulipuka muda mchache baada ya kupita lori la polisi kupita katika eneo hilo lililoko katika barabara ya Bodhei iliyoko katika kaunti ya Lamu.

Inaarifiwa maafisa hao walikuwa wanaelekea katika eneo la Bodhei lililoko katikati mwa kaunti ya Lamu na Garissa kabla ya tukio hilo kutokea.

                                     

KRISMASI


Wakristo kote ulimwenguni wameungana na waumini wengine katika sherehe za kuzaliwa kwa Yesu Kristo kulingana na maandiko ya dini yao.

Viongozi wa dini hiyo wamehubiri kudumishwa kwa amani, kuzidisha upendo pamoja na kumcha Mwenyezi Mungu ili kuzuia  Mashambulizi yanayotekelezwa na magaidi.


                                 

Wednesday, 23 December 2015

IEBC

Tume ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC imetangaza tarehe ya uchaguzi mdogo wa Useneta wa kaunti ya Kericho na Ubunge wa Malindi kaunti ya Kilifi kufanyika Machi ya tarehe 7 mwaka 2016.

Wakati huo huo maspika wa mabunge yote mawili Justin Muturi wa bunge la kitaifa na mwenzake Ekwe Ethuro wa Seneti, wametangaza rasmi uwazi wa viti hivyo viliwi.




Viti hivyo vilisalia wazi baada ya aliyekuwa seneta wa kaunti hiyo Charles Keter na mbunge Dan Kazungu kuteuliwa kuwa waziri wa Kawi na Madini mtawalia.

Sunday, 20 December 2015

HOFU ZA BOMU


Abiria waliokuwa wameabiri ndege ya AIR FRANCE iliyosajiliwa kwa nambari 463 iliyokuwa ikielekea nchini Mauritius kutoka France, wamelazimika kushuka ghafla katika uwanja wa ndege wa Moi mjini Mombasa, baada ya kupatikana kilipuzi ndani ya choo cha ndege hiyo.

Abiria 473 waliokuwa ndani ya ndege hiyo wamesalimishwa na kufanyiwa ukaguzi alfajiri hiyo ya saa 2:00, huku wanajeshi wa maji Kenya Navy na maafisa wa kutegua mabomu wakifanikiwa kuwatia mbaroni washukiwa wawili.

Waziri wa Usalama Joseph Ngaissery na msemaji wa polisi Charles Owino wametoa kauli zao kufuatia kitendo hicho cha kigaidi.